Na Shamimu Nyaki-WHUSM. Waziri wa Habari Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye amezindua studio ya redio ya jamii ya ‘Community Media Network of Tanzania’ (COMNET)…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Waziri Mkuu Majaliwa Ahitimisha Mashindano ya Kuhifadhi Qur’an
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipohitimisha Mashindano ya Kuhifadhi Qur’an Tukufu ya Kimataifa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam jana Juni…
Continue Reading....Rais Dk Magufuli Ateua Wakuu wa Wilaya 139
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akitangaza majina ya Wakuu wapya wa Wilaya zote nchini 139 pamoja na mabadiliko ya wakuu wa Mikoa watatu uliofanywa…
Continue Reading....Naibu Spika Dk Tulia Aosha Magari ya Wabunge, Mawaziri Kuwaunga Mkono Wanahabari
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson Mwansasu (kushoto) akiosha moja ya magari ya…
Continue Reading....Profesa Mbarawa Amteuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPA
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa, leo tarehe 25 Juni, 2016 amemteua Mhandisi Deusdedit Conatus Vitalis Kakoko kuwa Mkurugenzi Mkuu wa…
Continue Reading....Tanzania Yaitaji Wataalam Waliobobea wa Biashara ya Kimataifa
Mmoja wa washiriki wa Mkutano huo akichangia wakati wa Mkutano huo. Wadau mbalimbali wakifuatilia kwa makini majadiliano kuhusu program mpya mbili za masomo katika ngazi…
Continue Reading....