Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 121

Category: Habari za Nyumbani

Askofu Dk. Gadi Kuongoza Maombi ya Siku 1001 Kuliombea Taifa

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Maombi
Askofu Dk. Gadi Kuongoza Maombi ya Siku 1001 Kuliombea Taifa

 Mchungaji Palemo Massawe (kulia), akitoa ufafanuzi kwa wanahabari kuhusu mkutano huo. Askofu Dk. Charles Gadi (wa pili kushoto), na wachungaji wenzake wakiomba baada ya kuzungumza na…

Continue Reading....

Polisi Mbeya Yamshikilia Baba Aliyetelekeza Mtoto Wake Mlemavu

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Unyanyasaji
Polisi Mbeya Yamshikilia Baba Aliyetelekeza Mtoto Wake Mlemavu

Na Emanuel Madafa, Mbeya JESHI la Polisi kupitia dawati la jinsia na watoto linamshikilia Baba mzazi wa kijana mwenye tatizo la ulemavu wa viungo na…

Continue Reading....

Wananchi Kufanya Malipo ya Kodi za TRA Popote kwa NMB

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Benki ya NMB Plc
Wananchi Kufanya Malipo ya Kodi za TRA Popote kwa NMB

WANANCHI sasa wanaweza kulipa malipo ya kodi mbalimbali za Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kwa kutumia Benki ya NMB. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Continue Reading....

Eng. Nyamhanga Awataka Waliolipwa Fidia Kupisha Ujenzi Barabara ya Arusha Bypass

Posted on: July 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Eng. Nyamhanga Awataka Waliolipwa Fidia Kupisha Ujenzi Barabara ya Arusha Bypass

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga amewataka wakazi wa Arusha ambao wameshalipwa fidia kupisha ujenzi wa…

Continue Reading....

Naibu Waziri Luhaga Akagua Mazingira Kiwanda cha Bia Serengeti, SBL

Posted on: July 14, 2016 - jomushi
Naibu Waziri Luhaga Akagua Mazingira Kiwanda cha Bia Serengeti, SBL

   Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira , Luhaga Mpina akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Bi. Helene Weesie…

Continue Reading....

Wafanyakazi Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Acacia Kahama Wachangia Damu

Posted on: July 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Changia Damu
Wafanyakazi Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Acacia Kahama Wachangia Damu

  Kushoto ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara,Sam Roesler na Mkuu wa Kitengo cha Utumishi Kampuni ya Acacia ofisi za London…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari