Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 120

Category: Habari za Nyumbani

UNESCO Yakutanisha Wadau Kujadili Uchafu Kwenye Maji

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: UNESCO
UNESCO Yakutanisha Wadau Kujadili Uchafu Kwenye Maji

  ILI kuhakikisha kunakuwa na usalama wa maji duniani kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya vifo ambavyo vinatokana na uchafu katika maji, Shirika la…

Continue Reading....

Hospitali ya Wilaya Kisarawe Yasaidiwa Shuka 375 na LAPF

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: Msaada
Hospitali ya Wilaya Kisarawe Yasaidiwa Shuka 375 na LAPF

   Naibu Waziri wa Tamisemi, Suleiman Jaffo, akisisitiza jambo. Kutoka kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Juma Kanena, aliyemwakilisha OCD katika hafla hiyo, Kaimu…

Continue Reading....

Waziri Mbarawa Awapa Miezi Miwili ‘Wachina’ Kumaliza Barabara ya Nakapanya

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: barabara
Waziri Mbarawa Awapa Miezi Miwili ‘Wachina’ Kumaliza Barabara ya Nakapanya

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametoa miezi miwili kwa mkandarasi wa kampuni ya M/s Jiangxi Geo-Engineering (Group) Corporation anayejenga sehemu ya…

Continue Reading....

Kilio cha Mrema Chasikika Ikulu, Rais Dk Magufulia Ampa Kazi

Posted on: July 16, 2016July 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Dk. Magufulia
Kilio cha Mrema Chasikika Ikulu, Rais Dk Magufulia Ampa Kazi

KILIO cha muda mrefu cha Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema kuomba asisahaulike katika ufalme wa Rais Dk…

Continue Reading....

Matokeo Kidato cha Sita; Sekondari Kongwe za Serikali Zaamka

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Matokeo
Matokeo Kidato cha Sita; Sekondari Kongwe za Serikali Zaamka

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Sita, 2016 huku shule 10 zilizofanya vizuri ni pamoja na Sekondari za Kisimiri-Arusha, Feza…

Continue Reading....

Naibu Waziri Jaffo Aguswa na Jitihada za Akinamama wa Kitanga, Kisarawe

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Akinamama
Naibu Waziri Jaffo Aguswa na Jitihada za Akinamama wa Kitanga, Kisarawe

     Bi. Anna Salado, Mkurugenzi wa taasisi ya Women for Africa Foundation ya Hispania, akizungumza na akinamama wa kikundi cha Green Voices katika Kijiji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari