Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 118

Category: Habari za Nyumbani

NSSF Yasaidia Milioni 50, Ujezi wa Shule ya Sekondari Lindi

Posted on: July 20, 2016 - jomushi
Post Tags: NSSF
NSSF Yasaidia Milioni 50, Ujezi wa Shule ya Sekondari Lindi

SHIRIKA la Hifadhi ya Taifa ya Jamii NSSF Makao Makuu ikishirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Lindi Imechanga Jumla ya Shilingi Milioni 50 Kwa Ajili ya Kuchangia Harambee…

Continue Reading....

Bodi MSD Yawavua Ukurugenzi Waliosimamishwa na Waziri

Posted on: July 20, 2016 - jomushi
Post Tags: MSD Tanzania
Bodi MSD Yawavua Ukurugenzi Waliosimamishwa na Waziri

BODI ya Wadhamini ya Bohari ya Madawa nchini (MSD) imewavua ukurugenzi wakurugenzi wawili waliosimamishwa kazi hivi karibuni na kumfukuza kazi mmoja baada ya kukutwa na…

Continue Reading....

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Amewataka Wananchi Kutumia Vizuri Mitandao

Posted on: July 20, 2016July 20, 2016 - Yohana Chance
Rais wa Zanzibar Dk.Shein Amewataka Wananchi Kutumia Vizuri Mitandao

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kutumia vizuri mitandao ili kulinda utamaduni pamoja na kuacha…

Continue Reading....

Kampuni ya Bia ya Serengeti Yazinduwa Bomba la Kudhibiti Maji Taka

Posted on: July 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Serengeti Breweries
Kampuni ya Bia ya Serengeti Yazinduwa Bomba la Kudhibiti Maji Taka

  Naibu Waziri ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira Mheshimiwa Luhaga Mpina (katikati) akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Helene Weesie  wakiongozana kuelekea kwenye…

Continue Reading....

Mpango wa Kukuza Biashara kwa Wanawake Ulivyonufaisha…!

Posted on: July 19, 2016July 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Maonesho ya Wanawake
Mpango wa Kukuza Biashara kwa Wanawake Ulivyonufaisha…!

  Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Tanzania Beng’i Issa akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Wanawake wajasiriamali, Jane Baseka aliyenufaika na mafunzo chini ya…

Continue Reading....

Serikali Kuunganisha Mikoa ya Mbeya na Njombe kwa Lami

Posted on: July 19, 2016 - jomushi
Post Tags: barabara
Serikali Kuunganisha Mikoa ya Mbeya na Njombe kwa Lami

        SERIKALI imesema ipo katika hatua za mwisho kuanza ujenzi wa barabara ya Njombe-Makete kwa kiwango cha lami yenye urefu wa KM…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari