SHIRIKA la Hifadhi ya Taifa ya Jamii NSSF Makao Makuu ikishirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Lindi Imechanga Jumla ya Shilingi Milioni 50 Kwa Ajili ya Kuchangia Harambee…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Bodi MSD Yawavua Ukurugenzi Waliosimamishwa na Waziri
BODI ya Wadhamini ya Bohari ya Madawa nchini (MSD) imewavua ukurugenzi wakurugenzi wawili waliosimamishwa kazi hivi karibuni na kumfukuza kazi mmoja baada ya kukutwa na…
Continue Reading....Rais wa Zanzibar Dk.Shein Amewataka Wananchi Kutumia Vizuri Mitandao
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kutumia vizuri mitandao ili kulinda utamaduni pamoja na kuacha…
Continue Reading....Kampuni ya Bia ya Serengeti Yazinduwa Bomba la Kudhibiti Maji Taka
Naibu Waziri ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira Mheshimiwa Luhaga Mpina (katikati) akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Helene Weesie wakiongozana kuelekea kwenye…
Continue Reading....Mpango wa Kukuza Biashara kwa Wanawake Ulivyonufaisha…!
Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Tanzania Beng’i Issa akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Wanawake wajasiriamali, Jane Baseka aliyenufaika na mafunzo chini ya…
Continue Reading....Serikali Kuunganisha Mikoa ya Mbeya na Njombe kwa Lami
SERIKALI imesema ipo katika hatua za mwisho kuanza ujenzi wa barabara ya Njombe-Makete kwa kiwango cha lami yenye urefu wa KM…
Continue Reading....