Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,132

Category: Habari za Nyumbani

Serengeti Breweries yazindua tangazo la kampeni ya ‘pamoja tutashinda’

Posted on: November 7, 2011November 7, 2011 - jomushi
Serengeti Breweries yazindua tangazo la kampeni ya ‘pamoja tutashinda’

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imefanya hafla fupi ya kuwaaga na kuwatakia kila la kheri wachezaji wa Taifa Stars kwa…

Continue Reading....

Chuo Kikuu Norway kusaidia sekta ya afya Zanzibar

Posted on: November 7, 2011 - jomushi
Chuo Kikuu Norway kusaidia sekta ya afya Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukland kiliopo Norway umeahidi kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya ikiwa…

Continue Reading....

Sekondari ya Wama- Nakayama yasaidiwa vitabu 1,000

Posted on: November 7, 2011 - jomushi
Sekondari ya Wama- Nakayama yasaidiwa vitabu 1,000

Na Anna Nkinda – Maelezo SHULE ya Sekondari ya wasichana ya WAMA-NAKAYAMA iliyopo Rufiji mkoani Pwani imepokea msaada wa vitabu 1000 kutoka kwa Taasisi ya…

Continue Reading....

Ikulu yawasaidia wasiojiweza kusherekea Idd el Hajj

Posted on: November 7, 2011November 7, 2011 - jomushi
Ikulu yawasaidia wasiojiweza kusherekea Idd el Hajj

Na Mwandishi Wetu VIKUNDI na vituo 14 vya watoto yatima na wenye ulemavu na wazee wasiojiweza vimenufaika na zawadi ya Sikukuu ya Idd El Hajj…

Continue Reading....

Rais Kikwete azungumza na mtoto wa Malkia

Posted on: November 7, 2011 - jomushi
Rais Kikwete azungumza na mtoto wa Malkia

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Novemba 7, 2011, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtoto…

Continue Reading....

Mkutano wa mafunzo ya uongozi wafunguliwa Dar

Posted on: November 7, 2011November 7, 2011 - jomushi
Mkutano wa mafunzo ya uongozi wafunguliwa Dar

PICHANI juu ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Mahadhi (kulia) akiwa na Mchungaji, Dk. Bill Hybels (kushoto) wakimsikiliza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari