Na Rajab Mkasaba, Ras-Al-Khaimah RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein leo amekutana na mwenyeji wake Kiongozi wa Ras-Al-Khaimah,…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Pinda azindua ujenzi barabara ya Dodoma – Mayamaya
*Magufuli aahidi kulipa bil. 200 za wakandarasi wanaodai muda mrefu Na Martin Ntemo wa Wizara ya Ujenzi WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda leo Novemba 12 amezindua…
Continue Reading....‘Magonjwa ya Polio, Surua kubaki historia Tanzania’
Na Magreth Kinabo- MAELEZO, Arusha SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema itahakikisha magonjwa ya polio na surua na mengineyo ambayo yanaweza kukingwa kwa…
Continue Reading....Clouds Media Group wachangia Damu Dar
Na Mwandishi Wetu WAFANYAKAZI kutoka Kituo cha Clouds FM na Televisheni ya Clouds leo wamejumuika na baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam…
Continue Reading....Vurugu kubwa mkoani Mbeya
Polisi, Wamachinga wakabiliwa, Kandoro asema mapambano ni magumu JIJI la Mbeya jana liligeuka uwanja wa vita. Milio ya mabomu, risasi vilitawala sehemu kubwa ya jiji…
Continue Reading....