Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,114

Category: Habari za Nyumbani

Wahariri wawasili Moshi kushiriki uzinduzi wa kiwanda cha SBL

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Wahariri wawasili Moshi kushiriki uzinduzi wa kiwanda cha SBL

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limewasili mjini Moshi leo mchana kwa ajili ya kushiriki kwenye hafla ya uzinduzi wa Kiwanda kipya…

Continue Reading....

Sarafu mpya ya Sudan Kusini yaibua utata kwa wafanyabiashara.

Posted on: November 28, 2011November 28, 2011 - jomushi
Sarafu mpya ya Sudan Kusini yaibua utata kwa wafanyabiashara.

Ni zaidi ya miezi mitatu tangu Sudan Kusini ilipojitenga na Sudan na kupata uhuru wake mwezi Julai mwaka huu. Kama nchi mpya Sudan Kusini imekuwa…

Continue Reading....

Cairo walazimisha Jeshi kukabidhi madaraka kwa Raia.

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Cairo walazimisha Jeshi kukabidhi madaraka kwa Raia.

Maelfu ya watu wamekusanyika tena Medani Tahrir mjini Cairo, mkesha wa uchaguzi wa bunge uchaguzi wa kwanza tangu Rais Mubarak kuondolewa madarakani. Waandamanaji wanajaribu kuendelea…

Continue Reading....

Chokochoko za Uchaguzi Mkuu Mashirika ya misaada yasikitishwa na ghasia za Congo

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Chokochoko za Uchaguzi Mkuu Mashirika ya misaada yasikitishwa na ghasia za Congo

MASHIRIKA ya kimataifa, pamoja na Umoja wa Mataifa yamesema yanasikitishwa na ghasia zilizotokea jana katika kampeni za uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo,…

Continue Reading....

JK akutana na CHADEMA, wawasilisha mapendekezo yao

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
JK akutana na CHADEMA, wawasilisha mapendekezo yao

*Wajumbe kukutana tena leo Na Mwandishi Maalum RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na ujumbe wa Serikali yake Novemba 27, 2011, amekutana…

Continue Reading....

Zanzibar yashindwa kutamba kwa Burundi

Posted on: November 27, 2011 - jomushi
Zanzibar yashindwa kutamba kwa Burundi

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Zanzibar, imeshindwa kutumia fursa ya kucheza nyumbani huku ikishangilia na idadi kubwa ya mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari