Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,101

Category: Habari za Nyumbani

SMZ kudhibiti ufujaji Airport Zanzibar

Posted on: December 9, 2011 - jomushi
SMZ kudhibiti ufujaji Airport Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali imeamua kujenga Uwanja wa ndege…

Continue Reading....

Tanzania yautema ubingwa CECAFA Tusker Chalenji

Posted on: December 8, 2011 - jomushi
Tanzania yautema ubingwa CECAFA Tusker Chalenji

*Yachapwa 3-1 na Waganda, mashabiki Yanga washerekea Na Joachim Mushi TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars jana imetolewa kuingia fainali katika Mashindano ya…

Continue Reading....

Empower women, girls to end HIV infection

Posted on: December 8, 2011 - jomushi
Empower women, girls to end HIV infection

ACTIVISTS on HIV have strongly advised African countries to invest in policies and programmes that empower women and girls to take action to prevent HIV…

Continue Reading....

‘Msongamano wa ndege wapungua Julius Nyerere Dar’

Posted on: December 7, 2011December 7, 2011 - jomushi
‘Msongamano wa ndege wapungua Julius Nyerere Dar’

Na Magreth Kinabo–MAELEZO SERIKALI imesema msongamano wa ndege zinazosubiri kutua au kuruka katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere umepungua baada ya kuufanyia…

Continue Reading....

Wizara ya Elimu na Ufundi yaweka mikakati ya kukuza usomaji vitabu

Posted on: December 7, 2011 - jomushi
Wizara ya Elimu na Ufundi yaweka mikakati ya kukuza usomaji vitabu

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imeweka mikakati madhubuti ili kuhakikisha kiwango cha usomaji wa vitabu kinakuwa nchini ikiwa ni…

Continue Reading....

Rais Kikwete kuzindua programu ya Urithi wa Ukombozi

Posted on: December 7, 2011December 7, 2011 - jomushi
Rais Kikwete kuzindua programu ya Urithi wa Ukombozi

Na Joachim Mushi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete atakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari