Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,094

Category: Habari za Nyumbani

Kafulila afukuzwa NCCR-Mageuzi

Posted on: December 19, 2011 - jomushi
Kafulila afukuzwa NCCR-Mageuzi

Ampigia magoti Mbatia kwa machozi, wajumbe wakataa kumsamehe CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Mbunge wa Kigoma Kusini, David kafulia na wajumbe wengine sita akiwamo aliyekuwa…

Continue Reading....

TIA wazindua mkataba wa huduma kwa mteja

Posted on: December 18, 2011 - jomushi
TIA wazindua mkataba wa huduma kwa mteja

Naibu Waziri wa Fedha Pereira Ame Silima (katikati) akizindua Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) jana jijini Dar es Salaam…

Continue Reading....

ICC yasema mauaji ya Gadaffi ni uhalifu

Posted on: December 17, 2011 - jomushi
ICC yasema mauaji ya Gadaffi ni uhalifu

*Yaanza kuwasaka waliohusika wahukumiwe KIFO cha aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi ‘kimezua utata’ na kudaiwa kuwa waliohusika kumuua wamefanya uhalifu wa kivita, amesema Kiongozi…

Continue Reading....

Ajali mbaya yaua watoto 4 (Video)

Posted on: December 17, 2011December 17, 2011 - admin
Ajali mbaya yaua watoto 4 (Video)

Mtandao huu unasikitika kuwajulisha kuwa video ya ajali hii inasikitisha sana unapoiangalia, hivyo tunaomba radhi kwa hilo.

Continue Reading....

JK ashauri kila nchi kutunga sheria kupambana na ukatili

Posted on: December 16, 2011December 16, 2011 - jomushi
JK ashauri kila nchi kutunga sheria kupambana na ukatili

Na Mwandishi Maalumu, Uganda RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Nchi za Maziwa Makuu…

Continue Reading....

JK ateua mabalozi, Marmo, Dk Batilda, Dk Kamala waula

Posted on: December 16, 2011 - jomushi
JK ateua mabalozi, Marmo, Dk Batilda, Dk Kamala waula

Na Joachim Mushi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amefanya uteuzi wa nafasi za mabalozi wa Tanzania kwa nchi tano, huku mawaziri…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari