Maandamano makubwa kupinga mauaji Songea yanafanyika, polisi watawanya kwa risasi za moto, wawili wadaiwa kufa Na Mwandishi wa dev.kisakuzi.com Songea TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Hatimaye ‘bifu’ la Mr. II na Ruge lamalizika
Na Mwandishi Wetu HALI ya uhasama uliodumu takribani miaka miwili kati ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr. II na Mkurugenzi wa…
Continue Reading....Lazima gesi asilia imnufaishe Mtanzania–Rais Kikwete
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali yake itahakikisha kuwa mikataba ya uzalishaji gesi asilia iliyogunduliwa…
Continue Reading....Rais Kikwete amteua Mratibu wa MKURABITA
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bibi Amina Saidi Mrisho kuwa Kamishna wa Sensa ya Mwaka 2012.…
Continue Reading....CCM ‘kumrithisha’ Jimbo mtoto wa Jeremiah Sumari
Na Mwandishi Wetui, Arusha WAJUMBE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Arumeru leo wamelazimika kuondoka mkutanoni baada ya kukerwa na kitendo cha uamuzi wa…
Continue Reading....Kesi ya Mbowe, Dk Slaa yaiva Arusha
Na Mwandishi Wetu, Arusha UPANDE wa Jamhuri katika kesi inayowakabili viongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wa Taifa, Freeman…
Continue Reading....