Na Mwandishi Wetu, Arusha SHAHIDI wa saba katika kesi ya kupinga matokeo ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), Joseph Silvester, amedaiwa kutoa ushahidi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Jakaya Kikwete atuwa Gaberone, Botswana
Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amekipongeza Chama Tawala cha Botswana, Botswana Democratic Party (BDP) kwa mafanikio yaliyopatikana nchini Botswana na watu wake. Rais…
Continue Reading....Wananchi wawanasa ‘wauaji’ kikatili Songea, wampelekea RC
*Maandamano yaendelea, askari waliouwa wanahojiwa Na Mwandishi Wetu, Songea BAADHI ya Wananchi wa Manispaa ya Songea wamewakamata vijana wawili wanaowahisi ni miongoni mwa wanaofanya mauaji…
Continue Reading....Chadema wamtaka Tendwa aache kutumiwa na CCM
*Lema amfananisha na ‘mlevi’, asema anaendesha propaganda chafu Na Mwandishi Wetu, Arusha CHAMA cha CHADEMA pamoja na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini wa chama…
Continue Reading....