Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,011

Category: Habari za Nyumbani

Spika Makinda awafunda viongozi wa Bunge

Posted on: March 22, 2012 - jomushi
Spika Makinda awafunda viongozi wa Bunge

Na Magreth Kinabo–MAELEZO VIONGOZI wa Bunge wametakiwa kufuata majukumu yao ya kazi, maadili na kufahamu mipaka yake ya kiutendaji ili kuepusha migogoro inayoweza kutokea. Kauli…

Continue Reading....

TAMWA kufanya Mkutano Mkuu Jumamosi

Posted on: March 22, 2012 - jomushi
TAMWA kufanya Mkutano Mkuu Jumamosi

MKUTANO Mkuu ambao ndicho chombo cha juu kinachotoa maamuzi kuhusu sera na mipango ya Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania–TAMWA, unatarajiwa kufanyika Machi 24, 2012 katika…

Continue Reading....

Polisi wamshikilia ‘askari’ aliyemtorosha ‘muuaji’

Posted on: March 22, 2012March 22, 2012 - jomushi
Polisi wamshikilia ‘askari’ aliyemtorosha ‘muuaji’

Moshi ASKARI Polisi mwenye namba F. 4049 Pc Maneno wa kituo cha polisi kati mjini Moshi mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo…

Continue Reading....

Polisi Kilimanjaro wamshika aliyetaka kula mbwa

Posted on: March 22, 2012 - jomushi
Polisi Kilimanjaro wamshika aliyetaka kula mbwa

Moshi MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Thomas Fosian (28), maarufu kama ‘Mlay Fundi’ mkazi wa Chekereni, Kahe mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Polisi mkoani hapa…

Continue Reading....

Wanaushirika Kilimanjaro watakiwa kuwawajibisha viongozi

Posted on: March 22, 2012 - jomushi
Wanaushirika Kilimanjaro watakiwa kuwawajibisha viongozi

Moshi WANACHAMA wa Vyama vya Ushirika mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuwawajibisha viongozi ambao si waadilifu ikiwa ni pamoja na kuwaondoa madarakani hatua ambayo itasaidia kuondoa migogoro…

Continue Reading....

Prof. Maji Marefu atishia kulishtaki gazeti Mwananchi

Posted on: March 22, 2012 - jomushi
Prof. Maji Marefu atishia kulishtaki gazeti Mwananchi

MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani kwa jina maarufu kama Prof. Maji Marefu ametishia kulishtaki gazeti la Mwananchi kwa kile anachodai limechapisha picha yake ndivyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari