Na Magreth Kinabo–MAELEZO VIONGOZI wa Bunge wametakiwa kufuata majukumu yao ya kazi, maadili na kufahamu mipaka yake ya kiutendaji ili kuepusha migogoro inayoweza kutokea. Kauli…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
TAMWA kufanya Mkutano Mkuu Jumamosi
MKUTANO Mkuu ambao ndicho chombo cha juu kinachotoa maamuzi kuhusu sera na mipango ya Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania–TAMWA, unatarajiwa kufanyika Machi 24, 2012 katika…
Continue Reading....Polisi wamshikilia ‘askari’ aliyemtorosha ‘muuaji’
Moshi ASKARI Polisi mwenye namba F. 4049 Pc Maneno wa kituo cha polisi kati mjini Moshi mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo…
Continue Reading....Polisi Kilimanjaro wamshika aliyetaka kula mbwa
Moshi MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Thomas Fosian (28), maarufu kama ‘Mlay Fundi’ mkazi wa Chekereni, Kahe mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Polisi mkoani hapa…
Continue Reading....Wanaushirika Kilimanjaro watakiwa kuwawajibisha viongozi
Moshi WANACHAMA wa Vyama vya Ushirika mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuwawajibisha viongozi ambao si waadilifu ikiwa ni pamoja na kuwaondoa madarakani hatua ambayo itasaidia kuondoa migogoro…
Continue Reading....Prof. Maji Marefu atishia kulishtaki gazeti Mwananchi
MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani kwa jina maarufu kama Prof. Maji Marefu ametishia kulishtaki gazeti la Mwananchi kwa kile anachodai limechapisha picha yake ndivyo…
Continue Reading....