Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,005

Category: Habari za Nyumbani

Wanafunzi Mahinda sekondari ‘wauza’ bangi

Posted on: March 30, 2012 - jomushi
Wanafunzi Mahinda sekondari ‘wauza’ bangi

Na Mwandishi Wetu, Moshi WAKAZI wanaoishi maeneo ya kuzunguka Shule ya Sekondari Mahida iliyoko wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wamelalamikia vitendo vinavyofanywa na wanafunzi wa shule…

Continue Reading....

Rais Kikwete atuma rambirambi kwa familia ya Balozi Haji Lukindo

Posted on: March 30, 2012 - jomushi
Rais Kikwete atuma rambirambi kwa familia ya Balozi Haji Lukindo

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…

Continue Reading....

Waziri matatani Arumeru

Posted on: March 30, 2012March 30, 2012 - jomushi
Waziri matatani Arumeru

VIJANA WA CHADEMA WAMZINGIRA, AHOJIWA NA POLISI Waandishi Wetu, Arumeru NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodlucky Ole Medeye juzi usiku aliingia…

Continue Reading....

Darasa la tano na sita wasomea darasa moja Kisarawe

Posted on: March 29, 2012 - jomushi
Darasa la tano na sita wasomea darasa moja Kisarawe

Na Joachim Mushi, Thehabari-Kisarawe WAKATI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini ikijipanga kuanza kufundisha kwa kutumia teknolojia ya kompyuta katika shule mbalimbali, wanafunzi…

Continue Reading....

Wanafunzi wa Sosholojia UDOM wafanya bonanza

Posted on: March 29, 2012March 29, 2012 - jomushi
Wanafunzi wa Sosholojia UDOM wafanya bonanza

Continue Reading....

CAG Utoah amkabidhi JK ripoti ya ukaguzi 2010/11

Posted on: March 29, 2012March 29, 2012 - jomushi
CAG Utoah amkabidhi JK ripoti ya ukaguzi 2010/11

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, leo, Alhamisi, Machi 29, 2012, amepokea rasmi Ripoti ya Mwaka ya Ukaguzi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari