Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 7

Category: Michezo na Burudani

Tamasha la Muziki Karibu Latangaza Nafasi za Ushiriki kwa Wasanii

Posted on: April 2, 2017April 2, 2017 - jomushi
Post Tags: muziki
Tamasha la Muziki Karibu Latangaza Nafasi za Ushiriki kwa Wasanii

UONGOZI wa Tamasha la muziki la Karibu wakishirikiana na Legendary Music Entertainment wametangaza nafasi kwa wasanii wa muziki na vikundi mbalimbali vya muziki kuomba nafasi…

Continue Reading....

Mlima Kilimanjaro ‘Amuangukia’ Waziri Dk. Mwakyembe

Posted on: March 29, 2017 - jomushi
Mlima Kilimanjaro ‘Amuangukia’ Waziri Dk. Mwakyembe

Gaudence Lekule akipanda mlima Kilimanjaro huku akikimbia wakati akiweka rekodi baada ya kutumia muda wa saa 8:36 mapema mwaka huu. Lekule akifurahia mara baada ya…

Continue Reading....

Rais JPM Aukubali Wimbo wa Nay wa Mitego, Basata Yaaibika

Posted on: March 27, 2017March 27, 2017 - jomushi
Post Tags: wasanii
Rais JPM Aukubali Wimbo wa Nay wa Mitego, Basata Yaaibika

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza kuachiwa huru kwa Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Emmanuel Elibariki maarufu kama…

Continue Reading....

Mwanahabari George Binagi na Pendo Kisaka Kuuaga Ukapera

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Mwanahabari George Binagi na Pendo Kisaka Kuuaga Ukapera

  MWANAHABARI wa Redio ya Lake FM ya mkoani Mwanza na mwanablogu wa mtandao wa Binagi Media Group, George Binagi (kulia) pamoja na Miss Pendo…

Continue Reading....

Kongamano la Maadili Kufanyika Uwanja wa Taifa Dar

Posted on: March 20, 2017 - jomushi
Kongamano la Maadili Kufanyika Uwanja wa Taifa Dar

Naibu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Anastazia Wambura (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kongamano la maadili…

Continue Reading....

Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Yaipongeza TaSUBA

Posted on: March 17, 2017 - jomushi
Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Yaipongeza TaSUBA

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akimkaribisha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari