Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 15

Category: Michezo na Burudani

Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Klabu ya Real Madrid imemsainisha mkataba mpya winga wake Gareth Bale na kumfanya aendelee kudumu klabuni hapo mpaka 2022. Bale mchezaji wa zamani wa Southampton…

Continue Reading....

Bondia Mashali Apigwa hadi Kufa na Watu Wasijulikana

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Bondia Mashali Apigwa hadi Kufa na Watu Wasijulikana

BONDIA Christopher Fabian Mashale maarufu ‘Francis Mashali’ amefariki dunia baada ya kupigwa na watu ambao bado hawajajulikana usiku wa kuamkia leo. Taarifa zinasema kwamba mwili…

Continue Reading....

Ikungi Half Marathon Zafanyika Mkoani Singida

Posted on: October 29, 2016 - jomushi
Ikungi Half Marathon Zafanyika Mkoani Singida

  Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe akiwapongeza washiriki waliomaliza kwa wastani mzuri wa muda, kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji…

Continue Reading....

Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Uzinduzi wa Ligi ya Taifa ya Wanawake unatarajiwa kufanyika Novemba 1, 2016 kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma katika mchezo ambao Baobao itacheza na Victoria…

Continue Reading....

Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameshtakiwa na shirikisho la soka nchini Uingereza FA kwa kudai kwamba itakuwa vigumu kwa refa Anthony Taylor kusimamia mechi…

Continue Reading....

Ujerumani Yachangia Milioni 12 Tamasha la Sauti za Busara

Posted on: October 28, 2016 - jomushi
Ujerumani Yachangia Milioni 12 Tamasha la Sauti za Busara

  Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said, akibadilishana mkataba na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Balozi  Egon Kochanke, baada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari