Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 13

Category: Michezo na Burudani

Taifa Stars Yaifuata Zimbabwe Kukiminya Kesho kutwa

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Taifa Stars Yaifuata Zimbabwe Kukiminya Kesho kutwa

Timu ya Mpira wa Miguu ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro kutoka Kampuni ya Bia Tanzania imeondoka leo Ijumaa saa 7.15 mchana…

Continue Reading....

Mwanamuziki Mkongo Nchini Canada Afariki Dunia

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Mwanamuziki Mkongo Nchini Canada Afariki Dunia

Mwimbaji na mtunzi mwenye sifa tele nchini Canada, Leonard Cohen, amefariki akiwa na umri wa miaka 82. Alizaliwa huko Montreal na kuanza taaluma ya utunzi…

Continue Reading....

Vincent Kompany Aponea Chupuchupu

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Vincent Kompany Aponea Chupuchupu

Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany hana jeraha lolote, licha ya kutolewa kwake katika mechi waliotoka sare ya bao moja kati ya Ubelgiji na Uholanzi.…

Continue Reading....

Wenger Awapigia Magoti Chile

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awapigia Magoti Chile

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ameiomba Chile kutomuweka hatarini mshambuliaji Alexis Sanchez mechi ya taifa hilo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Uruguay.…

Continue Reading....

Madaktari Manchester United Wamchafua Mourinho

Posted on: November 10, 2016 - Yohana Chance
Madaktari Manchester United Wamchafua Mourinho

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anachunguza kila kitu kuhusu kikosi chake cha kwanza baada ya kusikitishwa na utamaduni aliorithi katika klabu hiyo. Mourinho inadaiwa…

Continue Reading....

Naibu Spika Dk Tulia Asakata Mpira wa Pete na Timu ya Bunge

Posted on: November 9, 2016 - jomushi
Naibu Spika Dk Tulia Asakata Mpira wa Pete na Timu ya Bunge

  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson (kulia), wa timu ya Bunge  akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake walipocheza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari