Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 10

Category: Michezo na Burudani

Chuo cha CBE Waibuka Vinara ‘TTCL Inter College Beach Soccer’

Posted on: January 9, 2017 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
Chuo cha CBE Waibuka Vinara ‘TTCL Inter College Beach Soccer’

    Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara Dar es Salaam (CBE) kimeibuka vinara wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni ‘TTCL…

Continue Reading....

Muziki wa Tanzania na Tathmini ya John Kitime 2016

Posted on: January 8, 2017 - jomushi
Muziki wa Tanzania na Tathmini ya John Kitime 2016

    JANUARI 2013, niliandika makala kuhusu nilivyouona muziki mwaka 2012. Naona nirudie makala ile kama nilivyoiandika, na kukuachia msomaji kulinganisha na hali ilivyokuwa 2016. Mwaka 2012 ndio huoo…

Continue Reading....

Watanzania Watakiwa Kuzipigia Kura Filamu za Kitanzania AMVA 2017

Posted on: January 8, 2017 - jomushi
Post Tags: Filamu Tanzania
Watanzania Watakiwa Kuzipigia Kura Filamu za Kitanzania AMVA 2017

BODI ya Filamu nchini imewahamasisha Watanzania kuongeza ari ya kuzipigia kura filamu za kitanzania zinazowania tuzo za Africa Magic Viewers Awards (AMVA 2017) za nchini Nigeria. Katibu…

Continue Reading....

Meneja wa Crystal Palace Atimuliwa

Posted on: December 23, 2016 - Yohana Chance
Meneja wa Crystal Palace Atimuliwa

Klabu ya Crystal Palace imemfuta kazi mkufunzi wake Alan Pardew wakati ambapo klabu hiyo iko katika nafasi ya 17 katika ligi ya Uingereza. Pardew aliteuliwa…

Continue Reading....

Tanzania Viwango vya FIFA Bado Tia Maji

Posted on: December 23, 2016 - Yohana Chance
Tanzania Viwango vya FIFA Bado Tia Maji

Taifa la Guinea-Bissau ndio taifa lililofaidika sana katika orodha mpya ya shirikisho la soka duniani Fifa mwaka 2016 baada ya kupanda nafasi 78 tangu Disemba…

Continue Reading....

Leicester City Yatwaa Tuzo ya Klabu Bora

Posted on: December 22, 2016 - Yohana Chance
Leicester City Yatwaa Tuzo ya Klabu Bora

Klabu ya soka ya Leicester imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka kwa kuwashangaza wengi waliposhinda ligi ya Uingereza. The Foxes kama inavyojiita ilishinda tuzo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari