Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 99

Category: Trending

Rais Magufuli Kuzinduwa Rasmi Mabasi ya Mwendo Kasi Dar

Posted on: January 24, 2017 - jomushi
Post Tags: usafiri
Rais Magufuli Kuzinduwa Rasmi Mabasi ya Mwendo Kasi Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kesho tarehe 25 /01/2017 anatarajiwa kuzindua Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na…

Continue Reading....

Namaingo na Uzinduzi Mradi Mkubwa Ufugaji Kuku Kijiji cha Miteja Kilwa

Posted on: January 24, 2017 - jomushi
Namaingo na Uzinduzi Mradi Mkubwa Ufugaji Kuku Kijiji cha Miteja Kilwa

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency Limited, Bi. Ubwa Ibrahim baada…

Continue Reading....

Afikishwa Mahakamani kwa Kumjeruhi na Chupa Mkewe

Posted on: January 24, 2017 - jomushi
Post Tags: Mahakamani
Afikishwa Mahakamani kwa Kumjeruhi na Chupa Mkewe

  Na Woinde  Shizza, ArushaMFANYABIASHARA maarufu wa madini  jijini Arusha, Venance  Moshi (30) amefikishwa mahakamani na kusomewa maelezo ya awali katika kesi  inayomkabili ya kushambulia na kumjeruhi  mkewe…

Continue Reading....

Vijana Dodoma Watakiwa Kujiunga na Kulima Zabibu

Posted on: January 24, 2017January 24, 2017 - jomushi
Post Tags: kilimo
Vijana Dodoma Watakiwa Kujiunga na Kulima Zabibu

   Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo na Maendeleo Kanda ya Kati, Leon Mroso (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati walipotembelea shamba la utafiti wa…

Continue Reading....

ACT Wazalendo Wazungumzia Polisi Kuvamia Kampeni na Kuzuia Gari

Posted on: January 24, 2017 - jomushi
Post Tags: ACT Wazalendo
ACT Wazalendo Wazungumzia Polisi Kuvamia Kampeni na Kuzuia Gari

Ndugu Watanzania MAGAZETI kadhaa ya leo yameandika juu ya Taarifa za Kiongozi wa Chama chetu, ndugu Zitto kutafutwa na Jeshi la Polisi huko Kahama kwa…

Continue Reading....

TTCL Tabora Wasaidia Vifaa vya Maabara ya Sayansi Shule za Sekondari

Posted on: January 23, 2017 - jomushi
TTCL Tabora Wasaidia Vifaa vya Maabara ya Sayansi Shule za Sekondari

Baadhi ya maafisa wa Kampuni ya Simu  Tanzania TTCL katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule za Sekondari ya Tabora Wavulana na Wasichana nje…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari