Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 72

Category: Trending

Mwanahabari George Binagi na Pendo Kisaka Kuuaga Ukapera

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Mwanahabari George Binagi na Pendo Kisaka Kuuaga Ukapera

  MWANAHABARI wa Redio ya Lake FM ya mkoani Mwanza na mwanablogu wa mtandao wa Binagi Media Group, George Binagi (kulia) pamoja na Miss Pendo…

Continue Reading....

Kero ya Upatikanaji Maji Inavyowakera Akinamama Wilaya ya Kishapu

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Post Tags: Huduma ya Maji
Kero ya Upatikanaji Maji Inavyowakera Akinamama Wilaya ya Kishapu

    Wakati nchi ya Tanzania ikiadhimisha wiki ya maji, imeelezwa kuwa wanawake wengi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta maji hivyo…

Continue Reading....

Makaburi 22 ya Watu Wenye Ualbino Tanzania Yafukuliwa

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Makaburi 22 ya Watu Wenye Ualbino Tanzania Yafukuliwa

TANGU kuibuka kwa mauaji ya watu wenye ualbino mwaka 2007 takribani makaburi 22 nchini  Tanzania yamefukuliwa na watu wasiojulikana. Chama hicho kimeiomba serikali ya awamu ya tano…

Continue Reading....

Mbunge Ridhiwani, Madiwani Chalinze Waibana CHALIWASA

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Mbunge Ridhiwani, Madiwani Chalinze Waibana CHALIWASA

MBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete pamoja na madiwani wa Halmashauri ya Chalinze, wameujia juu uongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira…

Continue Reading....

Maofisa Wakuu Jeshi la Polisi Kukutana Dodoma Kujipanga…!

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Maofisa Wakuu Jeshi la Polisi  Kukutana Dodoma Kujipanga…!

              Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi MAOFISA Wakuu wa Jeshi la Polisi  wanatarajia kukutana mkoani Dodoma kuanzia Jumatatu tarehe…

Continue Reading....

TTCL KUZALISHA DOLA MIL 50

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
TTCL KUZALISHA DOLA MIL 50

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameipa miezi miwili Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kuhakikisha kuwa inapata Dola za Kimarekani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari