Arsenal wameendeleza rekodi yao ya kutoshindwa hadi mechi 14 baada ya Alex Oxlade-Chamberlain kuwafungia mabao mawili na kuwawezesha kuondoka na ushindi dhidi ya Reading katika…
Continue Reading....Category: Trending
Kifo cha Carlos Alberto Chaacha Maswali Mengi
Aliyekuwa mchezaji mashuhuri wa timu ya Brazil Carlos Alberto ,ambaye alikuwa nahodha wa kikosi kilichoshinda kombe la dunia mwaka 1970 amefariki akiwa na umri wa…
Continue Reading....Serikali Itaendelea Kudumisha Uhusiano na Ushirikiano Kati ya Tanzania na India
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kudumisha uhusiano na ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na…
Continue Reading....Wafanyakazi wa NMB Mandela Watoa Msaada kwa Wagonjwa Hospitali ya Rufaa Mawenzi
Wafanyakazi wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi wakishusha zawadi mbalimbali kwa ajili ya kugawa kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya rufaa…
Continue Reading....Prof. Mbarawa Aitaka Bodi Mpya ya TAA Kusitisha Ajira za Upendeleo
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, ameitaka Bodi mpya ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kusimamia Menejimenti ya Mamlaka hiyo…
Continue Reading....