Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 113

Category: Trending

Droo ya Timu 16 Kufanyika Leo Uswis

Posted on: December 12, 2016 - Yohana Chance
Droo ya Timu 16 Kufanyika Leo Uswis

Baada ya timu kumi na sita kufuzu katika hatua ya kumi na sita bora ya michuano ya klabu bingwa ulaya, UEFA Champions Legaue Droo ya…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Mradi wa Umwagilia

Posted on: December 6, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Mradi wa Umwagilia

Na Ferdinand Shayo,Arusha. Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amezindua mradi wa Umwagiliaji katika kijiji cha Jobag wilaya ya Karatu uliofadhiliwa na Shirika la Word…

Continue Reading....

Waandishi wa Habari za Mitandao Wakutana

Posted on: December 5, 2016December 13, 2016 - Yohana Chance
Waandishi wa Habari za Mitandao Wakutana

Mwenyekiti wa Chama Cha Wamiliki na Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii ‘Tanzania Bloggers Network (TBN) Joachim Mushi (kushoto) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Idara ya…

Continue Reading....

TFF Yachunguza Kifo cha Mchezaji wa Mbao fc

Posted on: December 5, 2016 - Yohana Chance
TFF Yachunguza Kifo cha Mchezaji wa Mbao fc

KAMATI ya Tiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inafanyia uchunguzi kifo cha mchezaji wa Mbao FC, Ismail Mrisho Khalfan aliyefariki jana wakati wa mchezo…

Continue Reading....

Wajasiliamali Watakiwa Kuwa na Mipango Madhubuti

Posted on: December 5, 2016 - Yohana Chance
Wajasiliamali Watakiwa Kuwa na Mipango Madhubuti

WANAWAKE Wajasiriamali nchini wametakiwa kuwa na mshikamano, uthubutu, na upendo ili kusonga mbele katika shughuli zao za kiuchumi. Mwito huo ulitolewa na Mwakilishi Mkazi wa…

Continue Reading....

TPHA Wachaguana Kutafuta Viongozi Wapya…!

Posted on: December 3, 2016 - jomushi
TPHA Wachaguana Kutafuta Viongozi Wapya…!

   Mwenyekiti Mteule wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA), Shaibu Mashombo (wa nne kushoto), akiwa na viongozi wenzake wateule waliochaguliwa katika mkutano mkuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari