Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 110

Category: Trending

Oscar Kuwapiku Mesi, Ronaldo Kimpunga

Posted on: December 17, 2016December 17, 2016 - Yohana Chance
Oscar Kuwapiku Mesi, Ronaldo Kimpunga

Mchezaji wa Chelsea Oscar anatarajiwa kuwa mchezaji soka anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani atakapohamia Ligi Kuu ya Uchina mwezi Januari. Shanghai SIPG wanatarajiwa kulipa £60m…

Continue Reading....

Prof. Mgaya Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu NIMR

Posted on: December 17, 2016 - Yohana Chance
Prof. Mgaya Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu NIMR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 17 Desemba, 2016 amemteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa…

Continue Reading....

Namaingo Business Agency Kukabidhi Sungura kwa Wajasiliamali 2000

Posted on: December 17, 2016 - jomushi
Namaingo Business Agency Kukabidhi Sungura kwa Wajasiliamali 2000

KAMPUNI ya Namaingo, kugawa sungura 600 kwa Wajasiriamali 2000 Dar es Salaam leo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo mkubwa nchini. Mpango huo ulitangazwa…

Continue Reading....

Bwana Harusi Aingia Mitini Muda Mfupi Kabla ya Ndoa…!

Posted on: December 17, 2016 - jomushi
Bwana Harusi Aingia Mitini Muda Mfupi Kabla ya Ndoa…!

UNAWEZA kusema kuwa mwisho wa mwaka 2016 huenda na matukio ya vioja. Kimetokea kituko cha aina yake katika Mitaa ya Isanga Jijini Mbeya Mkoa wa Mbeya  mara baada…

Continue Reading....

Matukio Mahafali ya Pili Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Posted on: December 16, 2016 - jomushi
Matukio Mahafali ya Pili Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

  Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, Prof Faustine Bee akimuongoza Mkuu wa Chuo  hicho Pius Msekwa wakati akiwasili katika uwanja wa…

Continue Reading....

TGNP Yakutanisha Wadau Kuchambua Sera ya Maji Dar

Posted on: December 16, 2016 - jomushi
TGNP Yakutanisha Wadau Kuchambua Sera ya Maji Dar

            MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) inakutanisha watendaji mbalimbali na wataalamu kutoka sekta za Maji, Afya na Elimu pamoja na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari