Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 983

Author: jomushi

Mama Salma Awataka Ruangwa Kutunza Ardhi

Posted on: February 3, 2014 - jomushi
Mama Salma Awataka Ruangwa Kutunza Ardhi

Na Anna Nkinda – Maelezo, Ruangwa MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi kuitunza ardhi nzuri na ya…

Continue Reading....

TFF Yaadhimisha Miaka 50 FIFA, Yanga Vs Mbeya City Waingiza Mil 175

Posted on: February 3, 2014 - jomushi
TFF Yaadhimisha Miaka 50 FIFA, Yanga Vs Mbeya City Waingiza Mil 175

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litaadhimisha miaka 50 tangu lipate uanachama wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (TFF) kwa shughuli mbalimbili…

Continue Reading....

Waziri Pinda Apokea Misaada ya Waathirika Mafuriko ya Magole

Posted on: February 3, 2014 - jomushi
Waziri Pinda Apokea Misaada ya Waathirika Mafuriko ya Magole

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda, amepokea msaada ya mabati, mashuka, vyandarua na biskuti vyenye thamani ya sh. 141,045,000/- kutoka kwenye makampuni binafsi matatu na…

Continue Reading....
Posted on: February 3, 2014 - jomushi

Continue Reading....

Rais Kikwete Akagua Ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba Dodoma

Posted on: February 3, 2014 - jomushi
Rais Kikwete Akagua Ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amekagua na kuridhishwa na kazi na kasi ya marekebisho yanayofanywa katika Ukumbi wa Bunge mjini…

Continue Reading....

Rais Kikwete: Kampeni za Urais Hazijaanza Rasmi

Posted on: February 3, 2014 - jomushi
Rais Kikwete: Kampeni za Urais Hazijaanza Rasmi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kampeni za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari