Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 969

Author: jomushi

Dk. Nchimbi Azinduwa Machapisho ya MCT Siku ya Redio Duniani

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
Dk. Nchimbi Azinduwa Machapisho ya MCT Siku ya Redio Duniani

Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa…

Continue Reading....

Uingereza Yamwalika Rais Kikwete Kuwatembelea

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
Uingereza Yamwalika Rais Kikwete Kuwatembelea

UINGEREZA imemwalika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ziara rasmi kutembelea nchi hiyo kwenye sehemu ya kwanza ya mwaka…

Continue Reading....

UNDP: Anzisheni Awamu ya Pili ya Operesheni Tokomeza, JK Alia na Masoko ya Pembe za Tembo

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
UNDP: Anzisheni Awamu ya Pili ya Operesheni Tokomeza, JK Alia na Masoko ya Pembe za Tembo

Na Mwandishi Maalumu SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limeitaka Tanzania kuanzisha haraka awamu ya pili ya Operesheni Tokomeza yenye lengo la kukabiliana…

Continue Reading....

Bia ya Serengeti Yaendesha Droo ya Kwanza ya Winda Safari ya Brazil

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
Bia ya Serengeti Yaendesha Droo ya Kwanza ya Winda Safari ya Brazil

MAWINDO ya safari ya Brazil inayolipiwa gharama zote sasa ni juu ya wateja wa bia ya Serengeti ambao wamepata wiki iliyojaa zawadi kemkem kutoka bia…

Continue Reading....

TIC Wasaini Mikataba ya Uwekezaji na Wakuu wa Mikoa Kanda ya Ziwa

Posted on: February 14, 2014February 14, 2014 - jomushi
TIC Wasaini Mikataba ya Uwekezaji na Wakuu wa Mikoa Kanda ya Ziwa

 Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Julieth Kairuki wakati alipotembelea Banda la Kituo hicho kwenye…

Continue Reading....

Matukio Kutoka Ofisi ya Rais, Ikulu Zanzibar

Posted on: February 14, 2014February 14, 2014 - jomushi
Matukio Kutoka Ofisi ya Rais, Ikulu Zanzibar

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari