Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 954

Author: jomushi

Rais Kikwete, Wanajumuiya UDSM Wauaga Mwili wa Balozi Kazaura

Posted on: February 28, 2014 - jomushi
Rais Kikwete, Wanajumuiya UDSM Wauaga Mwili wa Balozi Kazaura

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Februari 27, 2014, ameungana na mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha…

Continue Reading....

Kilwa Kutumia Rasilimali Kuboresha Maisha ya Wananchi

Posted on: February 28, 2014 - jomushi
Kilwa Kutumia Rasilimali Kuboresha Maisha ya Wananchi

Na Aron Msigwa – Maelezo, Dar es Salaam UONGOZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa umesema utahakikisha rasilimali zote zinazopatikana katika wilaya hiyo ikiwa ni pamoja…

Continue Reading....

Wagombea 27 Warejesha Fomu Uchaguzi TASWA

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
Wagombea 27 Warejesha Fomu Uchaguzi TASWA

WAOMBAJI 27 kati ya 28 wamerejesha fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa…

Continue Reading....

Soko la Sanya Juu Kilimanjaro Hatari kwa Wafanyabiashara Kiafya

Posted on: February 27, 2014February 27, 2014 - jomushi
Soko la Sanya Juu Kilimanjaro Hatari kwa Wafanyabiashara Kiafya

Sanya Juu ni mji mdogo ndani ya wilaya Siha Mkoani Kilimanjaro ikiwa ni Km 25 toka Bomang’ombe  na KM 50 toka Moshi Mjini, weekend hii…

Continue Reading....

TFF Yamtema Poulsen, Wavunja Mkataba, Yanga Waondolewa Taifa Stars

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
TFF Yamtema Poulsen, Wavunja Mkataba, Yanga Waondolewa Taifa Stars

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote…

Continue Reading....

Ahukumiwa Miaka 30 kwa Kumbaka Mwanafunzi Std II

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
Ahukumiwa Miaka 30 kwa Kumbaka Mwanafunzi Std II

Yohane Gervas, Rombo MAHAKAMA ya Wilaya ya Rombo imemuhukumu Joseph Didas (39) mkazi wa Kijiji cha Ubaa Tarafa ya Mkuu Wilaya ya Rombo kutumikia kifungo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari