Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 912

Author: jomushi

Financial Sector Deepening Trust Yazindua Ripoti ya Utafiti…!

Posted on: April 3, 2014 - jomushi
Financial Sector Deepening Trust Yazindua Ripoti ya Utafiti…!

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Profesar Benno Ndulu akikata utepe kuzindua kitabu cha ripoti ya utafiti Tanzania katika masuala ya uchumi uliofanyika Aprili…

Continue Reading....

Maadhimisho Miaka 50 ya Bodi ya Huduma za Maktaba, Dodoma

Posted on: April 3, 2014 - jomushi
Maadhimisho Miaka 50 ya Bodi ya Huduma za Maktaba, Dodoma

   Mkuu wa Mkoa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi (mwenye kilemba kichwani) akifanya ukaguzi wa vitabu na nyaraka za taarifa mbalimbali kwa ajili ya wasomaji, pembeni yake…

Continue Reading....

Ikulu Yafafanua Kuhusu Tume ya Katiba Kutupiwa Virago

Posted on: April 2, 2014 - jomushi
Ikulu Yafafanua Kuhusu Tume ya Katiba Kutupiwa Virago

GAZETI la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia virago”.…

Continue Reading....

JK Awasili Brussels, Ubelgiji…!

Posted on: April 2, 2014April 2, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
JK Awasili Brussels, Ubelgiji…!

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Brussels, Ubelgiji leo asubuhi 2 Aprili, 2014 kuhudhuria kikao cha siku mbili cha Wakuu wa Nchi wa nchi za Afrika…

Continue Reading....

Watanzania Waliolipuliwa na Osama Kulipwa Bilioni 672

Posted on: April 2, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Watanzania Waliolipuliwa na Osama Kulipwa Bilioni 672

WATANZANIA wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672…

Continue Reading....

Timu ya Watoto wa Mitaani Tanzania Yanyanyasa Brazil, Ngorongoro Heroes Yaahidi..!

Posted on: April 2, 2014 - jomushi
Timu ya Watoto wa Mitaani Tanzania Yanyanyasa Brazil, Ngorongoro Heroes Yaahidi..!

TIMU ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania kutoka Kituo cha Mwanza inaendelea vizuri katika mashindano ya Kombe la Dunia kwa Watoto wa Mitaani yanayoendelea Rio…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari