Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 895

Author: jomushi

Maoni ya Zitto Kabwe Akichangia Rasimu ya Katiba Sura ya 1 na 6

Posted on: April 17, 2014April 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Zitto Kabwe
Maoni ya Zitto Kabwe Akichangia Rasimu ya Katiba Sura ya 1 na 6

KAMATI 12 za Bunge lako tukufu zimeleta Taarifa zake mbele yetu kwa ajili ya maboresho ya Rasimu ya Katiba ili kupata katiba inayopendekezwa itakayopelekwa kwa…

Continue Reading....

Kongamano la Wakuu na Wamiliki Vyuo vya Ufundi Stadi

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Kongamano la Wakuu na Wamiliki Vyuo vya Ufundi Stadi

 Mgeni rasmi Sarah Shibelea akifungua kongamano   Wakuu na wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi  kanda ya Dar es Salaam  Mgeni rasmi Sarah Shibelea akiwa…

Continue Reading....

“Kifo Hakizoeleki” Wassira

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
“Kifo Hakizoeleki” Wassira

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano), Bw. Stephen Wassira aliwavunja mbavu waombolezaji waliofika kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John…

Continue Reading....

Boko Haram Wawateka Wanafunzi wa Kike Nigeria

Posted on: April 15, 2014 - jomushi
Boko Haram Wawateka Wanafunzi wa Kike Nigeria

JESHI la Polisi Nchini Nigeria limesema kuwa Shule ya bweni ya Wasichana imeshambuliwa katika Jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo huku baadhi ya…

Continue Reading....

Rais Kikwete Audhuria Msiba wa Muhidin Maalim Gurumo

Posted on: April 15, 2014 - jomushi
Rais Kikwete Audhuria Msiba wa Muhidin Maalim Gurumo

Continue Reading....

Wamasai Ngorongoro Waunda Baraza la Wanawake

Posted on: April 15, 2014 - jomushi

Kutokana na kukithiri kwa mfumo dume unaoambatana na ukandamizaji wa mwanamke na kusababisha ongezeko la watoto yatima na wajane katika jamii ya wafuagaji wa kimasai, wanawake wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari