Na Aron Msigwa – MAELEZO OFISI ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Aprili umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita kutokana…
Continue Reading....Author: jomushi
Wanaharakati Wamtaka Rais Kikwete Kuvunja Bunge la Katiba
Na Mwandishi Wetu WANAHARAKATI kutoka sehemu mbalimbali wametoa rai kwa Rais Jakaya Kikwete kulivunja Bunge maalum la Katiba ili kuunda Bunge huru litakalokuwa na wawakilishi…
Continue Reading....Kiongozi UNDP, Helen Clark Kufanya Ziara Tanzania Mei, 2014
MKUU wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Helen Clark, atafanya ziara nchini Tanzania kuanzia Mei 10 hadi 13, 2014. Kwa mujibu wa…
Continue Reading....Flying Eagles Yatua Dar, Kiingilio ni 2,000/-
TIMU ya Nigeria (Flying Eagles) imewasili nchini kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 dhidi ya…
Continue Reading....