Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 700

Author: jomushi

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) TAARIFA KWA UMMA

Posted on: October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: TCU, TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA
TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) TAARIFA KWA UMMA

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) INA MAMLAKA KISHERIA KUSIMAMIA NA KURATIBU UDAHILI WA WANAFUNZI WOTE WANAOJIUNGA NA VYUO VIKUU VYOTE NCHINI TANZANIA. TUME IMEBAINI…

Continue Reading....

Marehemu Meja Jenerali Muhiddin Kimario Azikwa

Posted on: October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Meja Jenerali, Muhiddin Kimario
Marehemu Meja Jenerali Muhiddin Kimario Azikwa

 Waombolezaji wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Marehemu Muhiddini Kimario katika  makaburi ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mazishi…

Continue Reading....

Pinda Acharuka, Ampa Kigogo Uyui Siku 60 Kuhama

Posted on: October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Kigogo Uyui, Pinda
Pinda Acharuka, Ampa Kigogo Uyui Siku 60 Kuhama

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempa miezi miwili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora, Khadija Makuani kuhakikisha kuwa watumishi wote wa wilaya hiyo…

Continue Reading....

Mpambano Mkali wa Ngumi Kufanyika Oktoba 25

Posted on: October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Dar, mabondia, Ngumi
Mpambano Mkali wa Ngumi Kufanyika Oktoba 25

Mwandishi Wetu MPAMBANO mkali wa mchezo wa masumbwi utakaowakutanisha mabondia mbalimbali kutoka kila kona ya Tanzania unatarajia kufanyika Oktoba 25, 2014 katika ukumbi wa Friends…

Continue Reading....

Ikulu Yazoa Vikombe SHIMIWI, Wanamichezo Waaswa

Posted on: October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Ikulu, Morogoro, SHIMIWI
Ikulu Yazoa Vikombe SHIMIWI, Wanamichezo Waaswa

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO KLABU ya Ofisi ya Rais Ikulu imeonesha umwamba wao kwa kupokea vikombe vingi na medali katika mashindano ya Shirikisho la…

Continue Reading....

TTCL Yazinduwa Bonanza la SHIMMUTA Dar

Posted on: October 12, 2014October 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Bonanza la SHIMMUTA, Dar, TTCL

OFISA Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura Oktoba 11, 2014 amezinduwa Bonanza la Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari