Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 698

Author: jomushi

Mfanyakazi UN Aliyeambukizwa Ebola Afariki

Posted on: October 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Ebola, Mfanyakazi UN
Mfanyakazi UN Aliyeambukizwa Ebola Afariki

MFANYAKAZI wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani. Madaktari katika hospitali ya Leipzig wamesema mtu huyo mwenye umri wa…

Continue Reading....

Maonesho ya Jua Kali Kufanyika Kigali

Posted on: October 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Jua Kali, Maonesho
Maonesho ya Jua Kali Kufanyika Kigali

Na James Gashumba, EANA MAONESHO ya kanda maarufu kwa jina la Jua Kali/Nguvu Kazi yatafanyika mjini Kigali, Rwanda Desemba 1, mwaka huu. Maonesha hayo yanayoandaliwa…

Continue Reading....

Mazishi ya Marehemu Dk William Shija, Sengerema

Posted on: October 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Dk William Shija, Mazishi ya Marehemu
Mazishi ya Marehemu Dk William Shija, Sengerema

Continue Reading....

Nyerere Wangu Mimi…!

Posted on: October 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Julias Nyerere, Kumbukumbu
Nyerere Wangu Mimi…!

Nyerere Wangu Mimi! Na zitto Kabwe MWAKA 1984 nilianza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kigoma, katika Mji wa Kigoma. Nakumbuka kupelekwa Shule siku…

Continue Reading....

Adolf Hitler na Uchu wa Kuitawala Dunia…!

Posted on: October 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Adolf Hitler, Nazi, Ujerumani
Adolf Hitler na Uchu wa Kuitawala Dunia…!

KIONGOZI wa Chama cha Kisoshalisti kilichojulikana kama “NAZI” Adolf Hitler (1889-1945) alikuwa mmoja kati ya Madikteta dhalimu na mwenye nguvu kuwahi kutokea katika karne ya…

Continue Reading....

Idara Yamtetea Pistorius, Yataka Afungwe Nje

Posted on: October 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Afrika Kusini, Pistorius
Idara Yamtetea Pistorius, Yataka Afungwe Nje

IDARA ya Kurekebisha Tabia nchini Afrika Kusini imeomba mwanariadha maarufu wa nchi hiyo Oscar Pistorius anayetuhumiwa kwa mashtaka ya kumuua mpenzi, Reeva Steenkamp apewe kifungo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari