Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 696

Author: jomushi

UN Yaipongeza Tanzania Kuwatwaa Warundi 162,156

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Post Tags: tanzania, UN, Warundi
UN Yaipongeza Tanzania Kuwatwaa Warundi 162,156

UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa…

Continue Reading....

Chanjo ya Matende, Mabusha, Surua Kutolewa Dar

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Chanjo ya Matende, Mabusha, Surua
Chanjo ya Matende, Mabusha, Surua Kutolewa Dar

Na Beatrice Lyimo, MAELEZO WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inatarajia kufanya kampeni shirikishi ya ugonjwa wa Surua…

Continue Reading....

Matukio Mkutano wa Tano wa COMNETA Dodoma

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Post Tags: COMNETA, Dodoma, mkutano
Matukio Mkutano wa Tano wa COMNETA Dodoma

Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa shirika la kimataifa la sayansi, elimu na utamaduni (UNESCO) Bwana Al Amin Yusuph akielezea madhumuni ya warsha…

Continue Reading....

Tanzania Yapewa Majukumu Mgogoro wa Sudan Kusini

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Tanzania Yapewa Majukumu Mgogoro wa Sudan Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa Tanzania imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha…

Continue Reading....

Warsha ya Ukusanyaji, Matumizi ya Taarifa ya Hali ya Hewa

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Taarifa ya Hali ya Hewa, Ukusanyaji, Warsha
Warsha ya Ukusanyaji, Matumizi ya Taarifa ya Hali ya Hewa

Meneja wa mradi wa CIRDA kutoka UNDP, Bonizella Biagini akizungumza wakati akitambulisha  maofisa waliokuwepo katika uzinduzi wa warsha ya siku tatu ya kimataifa ya ukusanyaji…

Continue Reading....

Matukio Bonanza la Nguvu ya Kodi…!

Posted on: October 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Bonanza, Nguvu ya Kodi
Matukio Bonanza la Nguvu ya Kodi…!

Mgeni rasmi, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo, Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari