KIZUNGUMKUTI kilichotanda tangu kutangazwa kwa mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu leo kimeingia katika utata zaidi baada ya mlimbwende huyo…
Continue Reading....Author: jomushi
Mkenya Atolewa Jumba la Big Brother
MWAKILISHI wa Kenya ndani ya jumba la Big Brother, Sabina Anyango ametolewa ndani ya jumba hilo. Sabina ambaye ni mama wa mtoto wa miezi minane…
Continue Reading....Oscar Pistorius Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5
MWANARIADHA nyota wa nchi ya Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa kwenda jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp bila…
Continue Reading....Boko Haram Wateka Vijiji Wauwa, Nigeria Hakuna Ebola…!
WATU wanaohisiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wamewapiga risasi na kuwachinja watu katika vijiji vitatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria licha ya serikali kudai mwishoni mwa…
Continue Reading....Msanii Diamond Matatani, Sare za JWTZ Zamponza…!
Na Mwandishi Wetu, MSANII nyota wa muziki wa bongo fleva, Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinum ameingia katika mgogoro na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) baada…
Continue Reading....Mpambano Simba na Yanga Waingiza Mil 427/-
MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba iliyochezwa Oktoba 18 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar…
Continue Reading....