Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 644

Author: jomushi

Kamanda UN Asema Imepata Mafanikio Makubwa…!

Posted on: December 9, 2014 - jomushi
Post Tags: Kamanda UN, Mafanikio Makubwa
Kamanda UN Asema Imepata Mafanikio Makubwa…!

Balozi wa Ujerumani nchini Mh. Egon Kochanke (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania kwenye hafla…

Continue Reading....

Serikali Yatishia Kufuta Uraia wa Wananchi Wakimbizi

Posted on: December 9, 2014 - jomushi
Serikali Yatishia Kufuta Uraia wa Wananchi Wakimbizi

Na Kibada Kibada – Katavi SERIKALI imesema haitasita kuwafutia uraia wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania kutoka makazi ya wakimbizi ya Katumba Mishamo na Ulyankulu pindi watakapokiuka…

Continue Reading....

Nauliza Vigogo Waliopata Mgao wa Tegeta Escrow lini Watajiuzulu?

Posted on: December 8, 2014 - jomushi
Post Tags: Tegeta Escrow Account, Vigogo
Nauliza Vigogo Waliopata Mgao wa Tegeta Escrow lini Watajiuzulu?

NI mategemeo yetu watanzania wengi kuwa vigogo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika sakata la fedha za Tageta Escrow kuwa wanajiuzulu nafasi zao na…

Continue Reading....

Waziri Kombani Aipongeza Seed Trust Kuwapigania Walemavu

Posted on: December 8, 2014 - jomushi
Post Tags: Kongamano Kujadili, Selina Kombani, Ukatili kwa Walemavu
Waziri Kombani Aipongeza Seed Trust Kuwapigania Walemavu

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani ameipongeza taasisi ya Seed Trust kwa jitihada zake za kupiga vita vitendo…

Continue Reading....

Mahafali ya 49 Chuo cha Biashara Kampasi ya Mbeya

Posted on: December 6, 2014 - jomushi
Post Tags: Chuo cha Biashara, Mahafali ya 49, Mbeya
Mahafali ya 49 Chuo cha Biashara Kampasi ya Mbeya

  Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Musa Uledi akitoa tamko la kuwatunuku vyeti vya Astashahada katika fani za ununuzi na ugavi, uhasibu na…

Continue Reading....

Kikosi cha Taifa Stars Maboresho Charejea Dar

Posted on: December 6, 2014December 6, 2014 - jomushi
Post Tags: Kikosi, Maboresho, Taifa Stars
Kikosi cha Taifa Stars Maboresho Charejea Dar

KIKOSI cha Taifa Stars Maboresho kinarejea leo Dar es Salaam kutoka Bulyanhulu mkoani Shinyanga ambapo kiliweka kambi kwa ajili ya mechi ya kimataifa dhidi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari