Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 637

Author: jomushi

Maximo Yametimia, Yanga Yamtimua Kocha Maximo

Posted on: December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Marcio Maximo Kocha, Yanga wamtimua
Maximo Yametimia, Yanga Yamtimua Kocha Maximo

KATIKA hali isiyouwa ya kawaida Timu ya Yanga ya Jijini Dar es Salaam imemtimua kocha wake Mkuu Marcio Maximo na kuingia mkataba na Kocha Amiss…

Continue Reading....

Balozi Seif Iddi Afungua Mkutano wa Kimataifa wa Hifadhi ya Jamii

Posted on: December 15, 2014December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Kimataifa wa Hifadhi ya Jamii, mkutano
Balozi Seif Iddi Afungua Mkutano wa Kimataifa wa Hifadhi ya Jamii

Wageni mbalimbali wanaoshiriki mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha ulioanza leo katika kituo cha…

Continue Reading....

Uchaguzi Katavi Wafanyika na Changamoto

Posted on: December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: katavi, Uchaguzi Serikali za Mitaa
Uchaguzi Katavi Wafanyika na Changamoto

Na Kibada Kibada -Katavi UCHAGUZI wa Serikali za Mitaa Katika Mkoa wa Katavi umekamilika kwa wananchi kujitokeza kupiga kura kwa kufuata taratibu kanuni na sheria…

Continue Reading....

Wazazi Kutubagua Watoto wa Kike Kielimu ni Ukatili – Wanafunzi

Posted on: December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Newala, Ukatili wa Kijinsia, wanafunzi
Wazazi Kutubagua Watoto wa Kike Kielimu ni Ukatili – Wanafunzi

BAADHI ya wanafunzi wa kike katika Shule ya Msingi Nachitulo Wilayani Newala wamewataka wazazi kuacha tabia ya kuwabagua watoto wa kike kielimu kwani kufanya hivyo…

Continue Reading....

Matokeo mbalimbali ya Uchaguzi Serikali za Mitaa

Posted on: December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Matokeo Uchaguzi, Uchaguzi Serikali za Mitaa
Matokeo mbalimbali ya Uchaguzi Serikali za Mitaa

MWANGA Mtaa wa Lwami CHADEMA 55, CCM 35, Mererani CHADEMA imeshinda mitaa 7 kati ya 8 na Kitongoji cha Endulele CHADEMA 170, CCM 130. Jijini…

Continue Reading....

Mama wa ‘Wanahabari’ Kuzikwa Jumatano Mbeya

Posted on: December 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Kuzikwa, Mama wanahabari, Mbeya
Mama wa ‘Wanahabari’ Kuzikwa Jumatano Mbeya

Na Joachim Mushi MAMA mzazi wa waandishi wa habari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam katika Hospitali ya Hindu Mandal…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari