NI fainali leo pale vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitakapompitisha mgombea wake urais atakayepambanishwa na yule wa CCM, Dk John Magufuli aliyepitishwa…
Continue Reading....Author: jomushi
Tamasha Nchi za Jahazi 2015 Julai 18…!
Mjumbe wa Bodi wa Tamasha la Jahazi, Fatma Allo (kulia), akizungumza katika mkutano na wadau wa filamu na wanahabari Dar es Salaam kuhusu tamasha la…
Continue Reading....Cecafa Kagame Cup Kutimua Vumbi Jumamosi Dar
MICHUANO ya Kombe la Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa Kagame Cup) inatarajiwa kuanza kutimua vumbi siku ya Jumamosi tarehe 18 Julai 2015 jijini…
Continue Reading....Polisi Wadhibiti ‘Majambazi’ Mtaa wa Samora na Nkruma Dar
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa. Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia…
Continue Reading....Mathew Yungwe Ajitosa Kumng’oa Dk Shukuru Kawambwa Bagamoyo
Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga(kulia), akizungumza…
Continue Reading....Majambazi Wavamia Kituo cha Polisi Stakishari, Wapora Silaha
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamekivamia kituo cha Polisi Stakishari kilichopo eneo la Ukonga jijini Dar es Salaam majira ya saa tatu usiku na kuuwa askari…
Continue Reading....