Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 450

Author: jomushi

Kadama Malunde Mwenyekiti Mpya wa Wanahabari Shinyanga

Posted on: July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Wanahabari Shinyanga
Kadama Malunde Mwenyekiti Mpya wa Wanahabari Shinyanga

Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu…

Continue Reading....

Mafunzo ya Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Mama na Mtoto

Posted on: July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Mama na Mtoto, Utafiti
Mafunzo ya Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Mama na Mtoto

Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Neema Rusibamanyila akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wasimamizi,wahariri na wadadisi wa utafiti wa…

Continue Reading....

Kamishna wa Elimu Ataka Viwango vya Umahiri Tehama kwa Wakufunzi Kupanda

Posted on: July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Kamishna wa Elimu, TEHAMA
Kamishna wa Elimu Ataka Viwango vya Umahiri Tehama kwa Wakufunzi Kupanda

Kiongozi wa kitaifa wa mradi wa CFIT, Prof. Ralph Masenge akimkaribisha mgeni rasmi Kaimu Kamishina wa Elimu, Benjamin Kulwa (hayupo pichani) kufungua kongamano linalohusu upitiaji…

Continue Reading....

TTCL Yakabidhi Mradi wa Kuunganisha Matawi ya MSD Tanzania

Posted on: July 24, 2015July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Mkongo wa TTCL, MSD Tanzania, TTCL
TTCL Yakabidhi Mradi wa Kuunganisha Matawi ya MSD Tanzania

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) leo imekabidhi mradi mkubwa wa Mkongo wa Mawasiliano ambao umeyaunganisha matawi yote ya Bohari…

Continue Reading....

Auawa Baada ya Kuwachoma Visu Abiria Kwenye Daladala

Posted on: July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Abiria, daladala
Auawa Baada ya Kuwachoma Visu Abiria Kwenye Daladala

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati…

Continue Reading....

TAKUKURU Yamkingia Kifua Mkurugenzi Manispaa ya Tabora

Posted on: July 23, 2015 - jomushi
Post Tags: TAKUKURU
TAKUKURU Yamkingia Kifua Mkurugenzi Manispaa ya Tabora

   Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana.     Jaji Msumi (katikati), akiwa na wenzake akisikiliza shauri hilo. Na Dotto Mwaibale KAMANDA wa Taasisi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari