Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 402

Author: jomushi

Mgombea Urais ‘UKAWA’ Ajinadi Mkoani Shinyanga

Posted on: September 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Ukawa
Mgombea Urais ‘UKAWA’ Ajinadi Mkoani Shinyanga

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa akiongozana na aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis…

Continue Reading....

Mgombea Mwenza Chadema Juma Duni Ziarani Mkoa wa Rukwa

Posted on: September 14, 2015September 14, 2015 - jomushi
Mgombea Mwenza Chadema Juma Duni Ziarani Mkoa wa Rukwa

 Gari la mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji likilazimika kugeuza na kurudi katika eneo walilokusanyika wananchi waliokuwa na kiu ya kutaka ahutubie…

Continue Reading....

Kush Lodhia Aibuka Kidedea ‘Rhino Automobile Services golf’

Posted on: September 14, 2015 - jomushi
Kush Lodhia Aibuka Kidedea ‘Rhino Automobile Services golf’

Bertha Ismail, Arusha MPIGA gofu Kush Lodhia ‘week end’ hii ameibuka kidedea katika michuano ya “Rhino Automobile Services golf” baada ya kujipatia alama 38 katika…

Continue Reading....

Mgombea Mwenza CCM Apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

Posted on: September 14, 2015September 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni CCM
Mgombea Mwenza CCM Apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa…

Continue Reading....

Bonah Kaluwa Afungua Kampeni Dhidi ya Ukatili wa Jinsia Soko la Tabata Muslim

Posted on: September 14, 2015October 24, 2015 - jomushi
Bonah Kaluwa Afungua Kampeni Dhidi ya Ukatili wa  Jinsia  Soko la Tabata Muslim

Mwanaharakati wa kutetea wanawake na mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bonah Kaluwa (kulia), akizungumza na wanawake wakati akifungua kampeni…

Continue Reading....

EFM Yaanzisha Shindano la Kanga Wanawake

Posted on: September 14, 2015September 14, 2015 - jomushi
EFM  Yaanzisha Shindano la Kanga Wanawake

 Ofisa Habari, Lydia Moyo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati akimkaribisha Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Redio EFM, Denis…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari