Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 398

Author: jomushi

Yusuf Manji Azinduwa Kampeni Kugombea Udiwani CCM

Posted on: September 20, 2015September 20, 2015 - jomushi
Yusuf Manji Azinduwa Kampeni Kugombea Udiwani CCM

 Kiongozi wa Kamati ya Ushindi kwa CCM kutoka Kigoma, Nicholaus Zacharia (kulia), akimtambulisha Yusuf Manji katika uzinduzi huo.   Kiongozi wa Kamati ya Ushindi kwa CCM…

Continue Reading....

Msafara wa Sugu Washambuliwa kwa Mawe

Posted on: September 18, 2015 - jomushi
Msafara wa Sugu Washambuliwa kwa Mawe

  Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe…

Continue Reading....

Vijana Tanzania Wanatakiwa Kujitambua, Kuacha Kigeugeu

Posted on: September 17, 2015September 20, 2015 - jomushi
Vijana Tanzania Wanatakiwa Kujitambua, Kuacha Kigeugeu

Na Mwandishi Wetu VIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi. Kauli…

Continue Reading....

CCM Yavuna Wanachama 180 Mkutano wa Hadhara Mtwara

Posted on: September 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni CCM
CCM Yavuna Wanachama 180 Mkutano wa Hadhara Mtwara

Umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani)…

Continue Reading....

Uzinduzi Kupinga Ukatili wa Jinsia Soko la Temeke Sterio

Posted on: September 17, 2015 - jomushi
Uzinduzi  Kupinga Ukatili wa Jinsia Soko la Temeke Sterio

 Ofisa Mtendaji Kata ya Temeke, Elias Wawa akizungumza katika uzinduzi wa awamu ya pili kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake masokoni uliofanyika soko la…

Continue Reading....

Uturuki Yaalikwa Kuwekeza TANAPA

Posted on: September 17, 2015December 20, 2015 - jomushi
Uturuki Yaalikwa Kuwekeza TANAPA

Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp(kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Tanapa,Allan Kijazi alipotembelea Makao Makuu ya shirika hilo jijini Arusha. …

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari