CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho…
Continue Reading....Author: jomushi
Wasindikaji Wadogo wa Mafuta ya Alizeti Walalamikia Mbegu
Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho kinavyofanya kazi zake…
Continue Reading....Kaskazini Wazungumzia Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya Kaskazini na Meneja Miradi wa Shirika lisilo la kiserikali la NAFGEM,…
Continue Reading....Rais Dk Magufuli Aendelea ‘Kuichonga’ Serikali, Afuta 9 Desemba
*Aigeuza 9 Desemba kuwa Uhuru na Kazi RAIS wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ameendelea kufanya mabadiliko ndani ya serikali yake…
Continue Reading....Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum Vyuo Vikuu Waaswa
Wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma vyuo vikuu nchini wameaswa kutumia elimu wanayoipata kuendesha maisha yao ili waweze kujiletea maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Hayo…
Continue Reading....NSSF Yaendesha Kongamano la Waajiri na Taasisi Mbalimbali
Meneja Matekelezo na Kumbukumbu wa NSSF Makao Makuu,Maryam Muhaji akizungumza kwenye kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za Kiserikali na zisizokuwa za kiserikali zilizokuwa…
Continue Reading....