Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 331

Author: jomushi

Hatari: Homa ya Nguruwe Yaibuka Mwanza

Posted on: December 12, 2015December 12, 2015 - jomushi
Hatari: Homa ya Nguruwe Yaibuka Mwanza

KUMETOKEA mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Nguruwe (African Swine Fever) Wilaya ya Nyamagana, Kata za Mabatini, Mirongo kishiri na Buhongwa na Igoma. Mlipuko huu…

Continue Reading....

Viongozi wa Dini Dodoma Wamuombea Dk Magufuli…!

Posted on: December 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Viongozi wa Dini
Viongozi wa Dini Dodoma Wamuombea Dk Magufuli…!

 Viongozi wa Makanisa mbalimbali ya mkoani Dodoma wakiwa wameshika picha za Rais Dk. John Magufuli, Waziri Mkuu, Majaliwa Kasimu Majaliwa na Makamu wa Rais Samia…

Continue Reading....

Madiwani Dar na Mwanza Waapishwa, Uchaguzi Wavurugika…!

Posted on: December 12, 2015 - jomushi
Madiwani Dar na Mwanza Waapishwa, Uchaguzi Wavurugika…!

Baadhi ya Madiwani kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama Wilaya ya Ilala Mhe: Adelf Sachore (hayupo…

Continue Reading....

DC Makunga Katika Ziara Hospitali ya Rufaa KCMC

Posted on: December 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Hospitali ya KCMC
DC Makunga Katika Ziara Hospitali ya Rufaa KCMC

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga alipofanya kikao na viongozi wa hospitali ya rufaa ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mkuu wa Hosptali ya…

Continue Reading....

Askari 482 Jeshi la Zimamoto Wahitimu Mafunzo ya Awali

Posted on: December 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Askari 482 Jeshi la Zimamoto Wahitimu Mafunzo ya Awali

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akikagua gwaride la askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto…

Continue Reading....

Droo ya Pili ya Promosheni ‘Jaza Mafuta na Ushinde’ Yachezwa

Posted on: December 11, 2015 - jomushi
Post Tags: GAPCO
Droo ya Pili ya Promosheni ‘Jaza Mafuta na Ushinde’ Yachezwa

Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya Mafuta ya GAPCO, Rashid Khalfan (kulia) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari