Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 329

Author: jomushi

Proin Promotions Yaingiza Nne Africa Magic Viewers Choice Awards 2016

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Proin Promotions
Proin Promotions Yaingiza Nne Africa Magic Viewers Choice Awards 2016

Proin Promotions Ltd imefanikiwa kuingiza filamu zake nne katika Shindano la Africa Magic Viewers Choice Awards 2016 (AMVCA 2016) katika vipengele viwili huku Filamu zote…

Continue Reading....

Rais Dk Pombe Magufuli Awakuna Walemavu, Wampongeza

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Walemavu
Rais Dk Pombe Magufuli Awakuna Walemavu, Wampongeza

Na Skolastika Tweneshe na Nyakongo Manyama, Maelezo SHIRIKISHO la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.…

Continue Reading....

IAWRT Yazinduwa Ripoti ya Nafasi ya Mwanamke Katika Vyombo vya Habari

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Vyombo vya Habari
IAWRT Yazinduwa Ripoti ya Nafasi ya Mwanamke Katika Vyombo vya Habari

Bi Razia Mwawanga kutoka IAWRT akifungua mkutano wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa hapa…

Continue Reading....

Matokeo ya Awali Uchaguzi wa Ubunge Arusha Mjini na Handeni Mjini

Posted on: December 14, 2015December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Matokeo Uchaguzi
Matokeo ya Awali Uchaguzi wa Ubunge Arusha Mjini na Handeni Mjini

Matokeo ya Awali Uchaguzi wa Ubunge Arusha Mjini na Handeni Mjini Taarifa za awali ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba matokeo ya Ubunge Jimbo la…

Continue Reading....

UNODC Yakabidhi Vifaa vya Maabara kwa Jeshi la Magereza

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
UNODC Yakabidhi Vifaa vya Maabara kwa Jeshi la Magereza

Afisa Mipango wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC), Immaculata Nyoni akizungumza jambo kabla ya kukabidhi vifaa vya…

Continue Reading....

Mwenyekiti Mpya Bodi ya TTCL Atembelea Miundombinu ya Kampuni

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
Mwenyekiti Mpya Bodi ya TTCL Atembelea Miundombinu ya Kampuni

MWENYEKITI mpya wa Bodi ya Kampuni ya Simu Tanzania, TTCL Prof. Tolly Mbwette, ametembelea miundombinu mbalimbali ya Kampuni ya simu Tanzania katika ziara yake ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari