Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 320

Author: jomushi

Mawakala Tigo Pesa Zanzibar Wapewa Elimu

Posted on: December 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Tigo Pesa
Mawakala Tigo Pesa Zanzibar Wapewa Elimu

Mkurugenzi  wa Tigo Pesa Tito Magesho akizungumza na mawakala wa Tigo Pesa walioko Zanzibar wakati wa mkutano wa kuwakutanisha mawakala wa Zanzibar jinsi ya  kuendesha…

Continue Reading....

Tanroads: Tunaijenga Barabara ya Kamanga Ferry kwa Lami

Posted on: December 29, 2015 - jomushi
Post Tags: barabara
Tanroads: Tunaijenga Barabara ya Kamanga Ferry kwa Lami

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO WAKALA wa Barabara nchini Tanzania (TANROADS) imesema inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami…

Continue Reading....

Waraghabishi Wakoleza Kasi ya Mabadiliko Wilayani Kishapu

Posted on: December 26, 2015 - jomushi
Waraghabishi Wakoleza Kasi ya Mabadiliko Wilayani Kishapu

Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu  wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa…

Continue Reading....

Nape Awataka Watanzania Kuendelea Kumuombea Dkt. Magufuli

Posted on: December 26, 2015 - jomushi
Nape Awataka Watanzania Kuendelea Kumuombea Dkt. Magufuli

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais  Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili…

Continue Reading....

Wanakijiji Enguserosambu Wafurahia Msitu Kurejeshwa Mikononi mwao

Posted on: December 26, 2015 - jomushi
Wanakijiji Enguserosambu Wafurahia Msitu Kurejeshwa Mikononi mwao

Mraghbishi Noorkiyengop Mbaima toka kijiji cha Enguserosambu akisimama mbele ya mifugo iliyokutwa msituni  katika eneo lililoruhusiwa la msitu wa  jamii wa Enguserosambu Ilikuwa ni siku ya shangwe na…

Continue Reading....

Dk Magufuli Ashiriki Misa ya Krismasi Mtakatifu Peter Jijini Dar

Posted on: December 26, 2015December 26, 2015 - jomushi
Dk Magufuli Ashiriki Misa ya Krismasi Mtakatifu Peter Jijini Dar

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari