Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 319

Author: jomushi

Waziri Nape Ampongeza Samatta, Ahaidi Neema Bongo Movie

Posted on: December 31, 2015 - jomushi
Waziri Nape Ampongeza Samatta, Ahaidi Neema Bongo Movie

Mchezaji wa TP Mazembe Mbwana Samatta(wa kwanza kushoto)akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) sababu za yeye kumtembelea Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi ya…

Continue Reading....

TCRA Yazilima Faini Tigo, Airtel, Halotel na Zantel

Posted on: December 31, 2015 - jomushi
Post Tags: TCRA Tanzania
TCRA Yazilima Faini Tigo, Airtel, Halotel na Zantel

MAMLAKA ya Mawasilaino nchini Tanzania (TCRA) imezipiga faini pamoja na kutoa onyo kali kwa makampuni ya simu za mikononi za: Benson Informatics Limited (inayojulikana kama…

Continue Reading....

Kesi ya ‘Akinamasamaki wa TRA’ Kuunguruma Januari 13

Posted on: December 31, 2015 - jomushi
Post Tags: Kesi TRA
Kesi ya ‘Akinamasamaki wa TRA’ Kuunguruma Januari 13

Na Nyakongo Manyama-Maelezo KESI inayowakabili wafanyakazi wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) inatarajiwa kusikilizwa tena January 13, 2016. Akizungumza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu…

Continue Reading....

Prof Mbarawa, Naibu Wake Watembelea Bandarini Dar…!

Posted on: December 29, 2015December 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Mamlaka ya Bandari
Prof Mbarawa, Naibu Wake Watembelea Bandarini Dar…!

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Ateta na Wakimbizi, Azungumzia Ngono Zembe

Posted on: December 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Wakimbizi
Waziri Mkuu Majaliwa Ateta na Wakimbizi, Azungumzia Ngono Zembe

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaasa raia wanaokimbia nchi zao na kupata hifadhi Tanzania kutobeba silaha wanapoingia nchini kuja kuishi kwenye kambi za wakimbizi. Ametoa onyo…

Continue Reading....

Ligi Kuu Zanzibar: KMKM na Mafunzo Yaenda Suluhu

Posted on: December 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Ligi Kuu Zanzibar
Ligi Kuu Zanzibar: KMKM na Mafunzo Yaenda Suluhu

 Mshambuliaji wa timu ya Mafunzo akijiandaa kupiga mpira huku beki wa timu ya KMKM akiwa tayari kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari