WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewapongeza Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Wakuu, mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam. Ametoa pongezi hizo wakati Makatibu…
Continue Reading....Author: jomushi
Waziri wa Ujenzi, Prof Mbarawa Akagua Ujenzi Daraja la Kigamboni
 Barabara zinazoingia katika Daraja la Kigamboni. Mkurugezi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau akimkaribisha Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa alipofanya ziara…
Continue Reading....Serikali Yataka Mawasiliano ya Barua Pepe Serikalini Yatumie ‘GMS’
Na Aron Msigwa –MAELEZO, Dar es Salaam SERIKALI imepiga marufuku matumizi ya Barua pepe za kawaida kwa watumishi wa umma wanaotuma au kupokea taarifa za…
Continue Reading....Kampuni ya TTCL Yawazawadia Vyakula Vituo vya Wasiojiweza Dar
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Thomas (kushoto) kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk. Kamugisha Kazaura akikabidhi sehemu ya…
Continue Reading....Waziri wa Maji na Umwagiliaji, JK Watembelea Mitambo ya Maji Wami
Rais Jakaya Kikwete na Lwenge wakiangalia mitambo ya kusafisha maji Wakiwa katika picha ya pamoja Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza…
Continue Reading....Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Ziarani Bohari ya Dawa
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu…
Continue Reading....