Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 311

Author: jomushi

Wizara ya Nisahati na Madini Yatoa Ufafanuzi Mradi wa Umeme Kinyerezi II

Posted on: January 15, 2016January 15, 2016 - jomushi
Wizara ya Nisahati na Madini Yatoa Ufafanuzi Mradi wa Umeme  Kinyerezi II

Na Nyakongo Manyama- MAELEZO WIZARA ya Nishati na Madini  imekanusha habari iliyopotosha umma kuhusu   mradi wa umeme wa Kinyerezi II kuwa bado haujaanza na gharama zilizoandikwa si…

Continue Reading....

Mama Asha Bilal Ahitimu Shahada ya Uzamili katika Menejiment ya Kimataifa

Posted on: January 15, 2016 - jomushi
Mama Asha Bilal Ahitimu Shahada ya Uzamili katika Menejiment ya Kimataifa

Picha na Mafoto Media/Muhidin Sufiani

Continue Reading....

Wahamiaji Haramu Wasakwa Mkoani Mbeya

Posted on: January 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Ufisadi wa Ajira wa Kutisha Idara ya Uhamiaji
Wahamiaji Haramu Wasakwa Mkoani Mbeya

ZOEZI la kuwasaka wahamiaji haramu na wageni wanaofanya kazi bila kibali limeendelea kufanikiwa mkoani Mbeya ambapo jumla ya wageni 20 wamekamatwa mkoani humo kutokana na makosa mbalimbali likiwemo…

Continue Reading....

Prof Mbarawa Awabana TEMESA Kivuko cha Kigamboni

Posted on: January 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Kigamboni
Prof Mbarawa Awabana TEMESA Kivuko cha Kigamboni

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa amewataka Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kufunga mfumo kamili wa elekroniki katika kivuko cha…

Continue Reading....

Jemba Ladakwa na Meno ya Tembo Katavi

Posted on: January 13, 2016January 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Meno ya Tembo
Jemba Ladakwa na Meno ya Tembo Katavi

Meno ya Tembo vipande 8 vyenye uzito wa kilo 50 ya thamani  ya milioni  120  ambayo ni sawa na Tembo hai wane aliyokamatwa nayo hivi karibuni…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Mabalozi wa Qatar na Kuwait

Posted on: January 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Mabalozi wa Qatar na Kuwait

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekuatana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili kutoka nchi za Qatar na Kuwait. Akizungumza kwa nyakati tofauti na mabalozi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari