Bi. Janet Sosthenes Mwenda (wa pili kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Bw. Evans Tegete moja ya vitu vilivyowasilishwa kwenye kituo hicho…
Continue Reading....Author: jomushi
Prof. Makame Mbarawa Awakomalia Makandarasi Mtwara
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amewataka makandarasi wanaojenga barabara za Mangaka-Mtambaswala KM 62.7 na Mangaka-Nakapanya Km 70,5 kukamilisha ujenzi huo ifikapo…
Continue Reading....Serikali Yalifuta Gazeti la MAWIO Kuchapishwa
Na Benedict Liwenga-Maelezo SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kulifuta kutoka katika Daftari la usajili wa magazeti, gazeti lijulikanalo kama “MAWIO”. Amri ya…
Continue Reading....MHAGAMA Atembelea Shirika la Tija la Taifa (NIP)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiweka saini kwenye…
Continue Reading....Kituo cha Utafiti RCRSDS Kuzindua Mfumo wa Kielektroniki wa Kukusanya, Kuhifadhi na Kuweka angani Taarifa za Kitafiti
Celina Mathew KITUO cha Utafiti wa shughuli za maendeleo ya jamii Tanzania(RCSDS), kinatarajia kuzindua mfumo wa kielektroniki wa kukusanya, kuhifadhi na kuweka angani taarifa za…
Continue Reading....