Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 308

Author: jomushi

Serikali Kufungua Viwanda vya Ngozi Dar, Geita na Shinyanga – Waziri Mkuu

Posted on: January 19, 2016 - jomushi
Serikali Kufungua Viwanda vya Ngozi Dar, Geita na Shinyanga – Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepanga kufungua viwanda vya kusindika ngozi kwenye mikoa ya Shinyanga, Geita na Dar es Salaam ili kutoa soko kwa…

Continue Reading....

Dk Magufuli Akutana na Balozi wa Israel Nchini

Posted on: January 19, 2016 - jomushi
Dk  Magufuli Akutana na Balozi wa Israel Nchini

Continue Reading....

Wananchi Watakiwa Kujitokeza Kuliombea Taifa

Posted on: January 19, 2016 - jomushi
Wananchi Watakiwa Kujitokeza Kuliombea Taifa

Na Beatrice Lyimo- Maelezo Mwenyekiti wa Good News for All Ministry, Askofu Charles Gadi ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kumuomba Mungu dhidi ya hali ya…

Continue Reading....

Polisi Njombe Yaagizwa Kusimamia Pesa za Maendeleo ya Elimu

Posted on: January 19, 2016 - jomushi
Polisi Njombe Yaagizwa Kusimamia Pesa za Maendeleo ya Elimu

Polisi Mkoa wa Njombe imeagizwa kuwa sehemu ya usimamizi wa fedha zilizo tolewa na serikali kwa ajili ya maendeleo ya elimu Mkoa wa Njombe ili…

Continue Reading....

Basi la Airbus Lamkanyaga Fundi Wake na Kumuua

Posted on: January 18, 2016 - jomushi
Post Tags: Basi la Abiria
Basi la Airbus Lamkanyaga Fundi Wake na Kumuua

BASI la Kampuni ya Airbus linalofanya safari zake kwenda Tanga kutokea Dar es Salaam limemkanyaga fundi wake na kumuua papo hapo. Ajali hiyo imetokea wakati…

Continue Reading....

Mbunge Segerea Azinduwa Kampeni Elimu Bora

Posted on: January 18, 2016 - jomushi
Post Tags: elimu
Mbunge Segerea Azinduwa Kampeni Elimu Bora

MAZINGIRA BORA KWA ELIMU BORA ,ni kampeni isiyo na malengo ya kumnufaisha mtu binafsi bali inalenga kuisaidia jamii ndani ya jimbo la Segerea katika upatikanaji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari