Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 303

Author: jomushi

Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Atangaza Kiama Kwa wala Rushwa

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Atangaza Kiama Kwa wala Rushwa

 Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini jijini…

Continue Reading....

TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa wanaofanya kazi kinyume na maadili. Akiongea na mwandishi wa habari hii…

Continue Reading....

UDA Yakanusha Juu ya Taarifa ya Kufirisika

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
UDA Yakanusha Juu ya Taarifa ya Kufirisika

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, Robert  Simon Kisena

Continue Reading....

Gari la Kwanza Daraja la Kigamboni Kuvuka Machi Mosi

Posted on: January 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja KIgamboni
Gari la Kwanza Daraja la Kigamboni Kuvuka Machi Mosi

mii (N.S.S.F) Mhandisi John Msemo, akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia) sehemu ya…

Continue Reading....

Mambo Yaharibika NIDA, Rais Amsimamisha Mkurugenzi

Posted on: January 25, 2016 - jomushi
Post Tags: NIDA
Mambo Yaharibika NIDA, Rais Amsimamisha Mkurugenzi

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya…

Continue Reading....

TBS Yateketeza Bidhaa Hafifu Zenye Thamani ya Mil. 20

Posted on: January 25, 2016January 25, 2016 - jomushi
Post Tags: TBS
TBS Yateketeza Bidhaa Hafifu Zenye Thamani ya Mil. 20

    Na Charity James SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza bidhaa hafifu na zilizokwisha muda wake zenye thamani ya sh. milioni 20 kutoka nchini…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari