Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 302

Author: jomushi

Serikali yasisitiza Ushirikisho wa Michezo Kuzingatia Utaratibu Kuzuia Migogoro

Posted on: January 27, 2016 - jomushi
Serikali yasisitiza Ushirikisho wa Michezo Kuzingatia Utaratibu Kuzuia Migogoro

Serikali imetoa wito kwa Vyama,Vilabu na Mashirikisho ya mpira wa miguu kuzingatia na kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa katiba zao ili kupunguza migogoro inayoweza…

Continue Reading....

Kamanda Sabas Akanusha Maandamano ya Madereva Bodaboda Arusha

Posted on: January 27, 2016 - jomushi
Kamanda Sabas Akanusha Maandamano ya Madereva Bodaboda Arusha

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP Liberatus Sabas amekanusha habari iliyoandikwa na gazeti la Jambo Leo la Januari 27, 2016 lenye kichwa cha habari…

Continue Reading....

UNESCO Yafanya Kongamano Kujadili Mpango wa Maendeleo Sekta ya Elimu (ESDP)

Posted on: January 27, 2016 - jomushi
UNESCO Yafanya Kongamano  Kujadili Mpango wa Maendeleo  Sekta ya Elimu (ESDP)

Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima na Elimu iliyo nje ya Mfumo rasmi kutoka Wizara ya Elimu, Salum Mnjagila, kwa niaba ya Kamishna wa Elimu,…

Continue Reading....

TTCL Yaendelea Kutambulisha 4G-LTE kwa Wateja

Posted on: January 27, 2016January 29, 2016 - jomushi
TTCL Yaendelea Kutambulisha 4G-LTE kwa Wateja

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imeendelea na harakati zake za kimasoko kutambulisha intaneti yake yenye kasi na bora zaidi ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji…

Continue Reading....

Vyama vya Siasa Vyaaswa Kushiriki Uchaguzi Zanzibar

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Vyama vya Siasa Vyaaswa Kushiriki Uchaguzi Zanzibar

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi ameviasa Vyama vya Siasa kushiriki chaguzi zinazotangazwa na tume za uchaguzi nchini ikiwemo uchaguzi wa Machi…

Continue Reading....

Chama cha waendesha Bodaboda Jijini Arusha Chaiomba Serikali Kuondoa Utata

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Chama cha waendesha Bodaboda Jijini Arusha Chaiomba Serikali Kuondoa Utata

  Na Vero Ignatus , Arusha. Chama cha waendesha bodaboda Jijini Arusha ( UWAPA) chaiomba serikali kutatatua utata uliopo kati ya waendesha bodaboda na waendesha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari