RAIA wa Tanzania ameuawa na umati mjini Nairobi baada ya yeye kudaiwa kuwashambulia na kuwaua watu wawili katika kasino. Watu walioshuhudia tukio hilo walisema mwanamume…
Continue Reading....Author: jomushi
Barabara za Mzunguko Kuanza Kujengwa Dar Juni
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema ujenzi wa barabara za mzunguko (ring roads) zenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katikati…
Continue Reading....Tigo Yakabidhi Vifaa vya Mawasiliano na Michezo kwa Wanahabari
Meneja Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha (Kushoto) akikabidhi vifaa mbalimbali vifaa vya mawasiliano na michezo vyenye thamani ya shilingi milioni nane kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma (CPC) Habel Chidawali, ili kufanikisha bonanza…
Continue Reading....Asilimia 10 tu ya Watanzania Wanamiliki Uchumi-Waziri Mkuu
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imebuni na kuanza kutekeleza Sera ya Uwekezaji ili kufikia lengo la kuwawezesha wananchi kiuchumi. “Taarifa zilizopo zinaonyesha ni asilimia…
Continue Reading....Waziri Prof Mbarawa Aifuata ATC, Ataka Ianze Kazi
SERIKALI imezungumzia umuhimu wa kulifufua upya Shirika la Ndege nchini Air Tanzania (ATC) kwa kulinunulia ndege mpya na kulipa mtaji ili lifanye kazi kibiashara na…
Continue Reading....